Tangu Jumanne, Oktoba 14, Nairobi, mji mkuu wa Kenya, umekuwa mwenyeji wa mkutano wa siku mbili wa sehemu ya upinzani wa Kongo ulioitishwa na rais wa zamani Joseph Kabila, aliyehukumiwa kifo hivi ...
Serikali mpya ya Peru imetangaza siku ya Alhamisi nia yake ya kutangaza hali ya hatari katika mji mkuu, Lima, kufuatia wimbi la ghasia za uhalifu zilizopangwa ambazo zimesababisha maandamano makubwa ...
China imewafuta kazi maafisa tisa waandamizi wa jeshi kutoka Chama cha Kikomunisti kama sehemu ya msako wa muda mrefu dhidi ya ufisadi. Ni pamoja na maafisa wa ngazi ya juu wa kijeshi wa nchi hiyo.
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameanzisha hatua ya mwisho kuelekea kufikia makubaliano ya lengo la miaka kumi la kupunguza utoaji wa gesi chafu ya kaboni kuelekea mkutano mkuu wa mazingira wa Umoja wa ...
Wanasiasa wa siasa kali za mrengo wa kulia walichukua hatua ya kutoa idhinisho la awali kwa mswada unaoipa Israel mamlaka ya kunyakua Ukingo wa Magharibi. Na Lizzy Masinga & Asha Juma Mama wa taifa wa ...
Mfalme Abdullah II wa Jordan ameonya kuwa Mashariki ya Kati itaangamia iwapo hakutakuwa na mchakato wa amani utakaopelekea taifa la Palestina. Mfalme huyo alikuwa akizungumza katika mahojiano maalum ...
Mawaziri wa ulinzi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya kujihami ya NATO wamekutana Jumatano mjini Brussels nchini Ubelgiji kujadili namna ya kujilinda na kukabiliana na vitisho na uchokozi wa Urusi. Umoja ...
Add articles to your saved list and come back to them any time. We’re bringing our live blog to a close for the day, thank you for joining us. Here’s a recap of some of the day’s headlines: A ...
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango. MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango amewasihi Watanzania kuendelea kumuombea Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ili aendelee kupumzika kwa amani na awe ...
Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Songea, Hosana Ngunge (kushoto) akikagua matofari yanayotumika kwenye ujenzi wa stendi ya mabasi katika kijiji cha Lundusi kata ya Peramiho ...
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imezindua Timu ya Uangalizi wa Uchaguzi yenye wataalamu 67 kutoka nchi zote wanachama, kwa ajili ya kufuatilia na kusimamia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa ...
WALIMU wamekumbushwa kuweka mazingira ambayo yanampa fursa mtoto wa kike kujifunza uongozi kwa vitendo ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha katika shughuli za shule, taasisi za umma na binafsi. Imeelezwa ...